Tunaomba radhi kwa picha hizi, lakini hii ndio hali halisi ya ajali mbaya zaidi kutokea kwa mwaka huu ambapo maisha ya wenzetu zaidi ya 60 yalikatishwa ghafla kutokana na uzembe wa watu wachache tu wenye haraka zao ambazo hata hivyo ziliishia hapa. Tunatoa wito kwa abiria kuchukua hatua za haraka ili kuepusha hasara hii ya nguvukazi ya taifa letu. Mungu aziweke mahali pema roho za wote waliopoteza maisha katika ajali hii ya mabasi ya J4 na Mwanza Coach iliyotokea leo.
|
Miili ya marehemu ikiwa imelazwa chini baada ya kunasuliwa kutoka kwenye moja ya mabasi hayo. |
|
Miili ya marehemu ikiwa bado imening'inia kwenye moja ya mabasi hayo. |
|
|
Hili ndilo moja ya mabasi hayo huku miili ya marehemu ikiwa bado haijatolewa ndani yake, pamoja na dereva mmojawapo anayetajwa kuhusika kwenye uzembe huo. | |